Peter Toshi
@Peter39561567
Dar es Salaam city
قد يعجبك
😂😂😂😂 Sawa endeleeni kutudhalilisha kwenye mitandao ya kijamii
Kuna wao halafu kuna sisi 🎶
God is Good, Finally we are Open. Ahsanteni sana ndugu zangu kwa ushirikiano wenu kipindi chote tangu ninaanza mpaka hapa nilipo fikia, mnanafasi kubwa sana kwenye maendeleo yangu. Mbarikiwe Sana. ❤️
Ccm wanawajua wa Tz vizur Sana,Na Mimi naungana nao wahakikishe wa Tz wanakuwa masikini Sana,Itawasaidia
Wakimaliza kutia sign mkataba wa DP world, wanamtangaza Bashite, wanatuacha tuhangaike na huo mfupa kwa siku kadhaa. MaCCM majanja.
Vijana wako wapi jamani, kama tu nguvu za kiume Hawana wataweza kupambana na Taifa teule La Tanzania 😂😂😂😂
Wakimaliza kutia sign mkataba wa DP world, wanamtangaza Bashite, wanatuacha tuhangaike na huo mfupa kwa siku kadhaa. MaCCM majanja.
Mbona vijana wako sioni kabisa hili swala Kubwa maendeleo
UTIAJI SAINI WA MIKATABA YA UWEKEZAJI KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM - IKULU, CHAMWINO
Sana wakati wameanza kupigana hata hivyo vitu havipo
Wamuajiri tu haina namna
#HABARI David Nyawade kutoka nchini Kenya ameingia matatani baada ya kugundulika kuwa ameifanya kazi ya udaktari kwa zaidi ya miaka 16 huku akiwa hana taaluma ya fani hiyo nyeti ulimwenguni Daktari huyo anayetajwa kuwa feki katika wasifu wake inaonesha kuwa alisoma Chuo Kikuu…
Kuna inchi inapongezwa huko upatikanaji wa umeme
Kwani hizo fidia tunazo Lipa tumeanza ni Leo tunalipa mara kibao imekuwa desturi viongozi wa juu hawashtuki kabisa, lakini mm nini wasi wasi na viongozi wetu isije kuwa wanashinikiza serekali ilipe upande wa pili wanapewa mgao kuwa makini na viongozi wetu very scam
Acha uongo Gari ya It hairusiwi kuwa inje ya barabala mita 30
Kwako @bajabiri
Inaripotiwa kuwa ng'ombe zaidi ya 600 za rais SSH zimeibiwa katika shamba la kunenepeshea Wilayani Misungwi mkoani Mwanza. Rais Samia alinunua ng'ombe hao na kuwakabidhi vijana 60 wanaochukua mafunzo ya mifugo ili kuwanenepesha na kuwauza na kujikwamua kiuchumi. Una Neno?
United States الاتجاهات
- 1. Pat Spencer 2,364 posts
- 2. Kerr 5,054 posts
- 3. Jimmy Butler 2,470 posts
- 4. Podz 3,034 posts
- 5. Seth Curry 3,905 posts
- 6. Hield 1,497 posts
- 7. Mark Pope 1,855 posts
- 8. #DubNation 1,378 posts
- 9. Carter Hart 3,770 posts
- 10. Derek Dixon 1,205 posts
- 11. Connor Bedard 2,188 posts
- 12. Brunson 7,255 posts
- 13. #ThunderUp N/A
- 14. Caleb Wilson 1,121 posts
- 15. Jaylen Brown 8,987 posts
- 16. Notre Dame 38.5K posts
- 17. Knicks 14.4K posts
- 18. Kuminga 1,314 posts
- 19. Kentucky 29.4K posts
- 20. Celtics 16.4K posts
Something went wrong.
Something went wrong.