daima_mbele_'s profile picture. Dar Young Africans Page .๐Ÿ’š๐Ÿ’›
Sharing the latest news, photos, and videos of Young Africans SC . Join us to celebrate our team talent and achievements!

Young Africans fan page๐Ÿ’›๐Ÿ’›๐Ÿ’š๐Ÿ’š

@daima_mbele_

Dar Young Africans Page .๐Ÿ’š๐Ÿ’› Sharing the latest news, photos, and videos of Young Africans SC . Join us to celebrate our team talent and achievements!

๐€๐ƒ๐๐€๐ ๐๐„๐‡๐‹๐”๐‹๐Ž๐•๐ˆ๐‚ via Yanga SC Napenda kutoa shukurani kwa viongozi na Benchi la ufundi na wachezaji wote.tulikuwa na wakati muzuri sana,bira kusahau mashabiki wa ๐˜๐š๐ง๐ ๐š๐’๐œ kwa upendo wenu nilijiona nipo nyumbani wakati wote.

daima_mbele_'s tweet image. ๐€๐ƒ๐๐€๐ ๐๐„๐‡๐‹๐”๐‹๐Ž๐•๐ˆ๐‚ via Yanga SC
Napenda kutoa shukurani kwa viongozi na Benchi la ufundi na wachezaji wote.tulikuwa na wakati muzuri sana,bira kusahau mashabiki wa ๐˜๐š๐ง๐ ๐š๐’๐œ kwa upendo wenu nilijiona nipo nyumbani wakati wote.

Mechi ijayo ya wananchi, ni kesho saa 10 kamili jioni.

daima_mbele_'s tweet image. Mechi ijayo ya wananchi, ni kesho saa 10 kamili jioni.

"Tangu nilipokutana nawe (Hamisa), nilijua kuwa wewe ni wangu wa milele. Wewe ni ushindi wangu mkubwa, ndoto yangu nzuri zaidi imetimia." "Mwaka jana, nilipiga shuti muhimu zaidi-sio uwanjani, lakini kwa goti moja. Na uliposema NDIYO, Dunia yangu ilibadilika milele." Aziz Ki.

daima_mbele_'s tweet image. "Tangu nilipokutana nawe (Hamisa), nilijua kuwa wewe ni wangu wa milele. Wewe ni ushindi wangu mkubwa, ndoto yangu nzuri zaidi imetimia." 

"Mwaka jana, nilipiga shuti muhimu zaidi-sio uwanjani, lakini kwa goti moja. Na uliposema NDIYO, Dunia yangu ilibadilika milele." 

Aziz Ki.

Mpira umekwisha, mwenye nyumba kapata kodi yake ya miezi 6 huku akidai ya mwezi mmoja.

daima_mbele_'s tweet image. Mpira umekwisha, mwenye nyumba kapata kodi yake ya miezi 6 huku akidai ya mwezi mmoja.

Wananchi tuko kiwanjani tena leo kusaka alama 3 muhimu. Kila la kheri timu yetu.

daima_mbele_'s tweet image. Wananchi tuko kiwanjani tena leo kusaka alama 3 muhimu.
Kila la kheri timu yetu.

Jeshi letu ni jeshi la Wananchi wa Tanzania๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

daima_mbele_'s tweet image. Jeshi letu ni jeshi la Wananchi wa Tanzania๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Happy birthday Suda Yanga๐ŸŽ‚ ๐Ÿฅณ

daima_mbele_'s tweet image. Happy birthday Suda Yanga๐ŸŽ‚ ๐Ÿฅณ

Mechi inayofuata ni ya Mwenye nyumba dhidi ya mpangaji wake๐Ÿ˜

daima_mbele_'s tweet image. Mechi inayofuata ni ya Mwenye nyumba dhidi ya mpangaji wake๐Ÿ˜

Maadimini wa watani kwenye moja na mbili๐Ÿ˜ƒ Nani kucheka zaidi mwishoni?

daima_mbele_'s tweet image. Maadimini wa watani kwenye moja na mbili๐Ÿ˜ƒ
Nani kucheka zaidi mwishoni?

Licha ya kutopata matokeo chanya katika sare ya jana dhidi ya JKT Tanzania. Bado straika wa Klabu ya Yanga Clement Mzize ni kinara wa mabao - NBC PL ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 2024-25 hadi sasa 1. Clement Mzize (Yanga): 9๏ธโƒฃ 2. Jean Ahoua (Simba): 8๏ธโƒฃ 3. Lionel Ateba (Simba): 8๏ธโƒฃ 4. Elvis Rupia Singida 8๏ธโƒฃ

daima_mbele_'s tweet image. Licha ya kutopata matokeo chanya katika sare ya jana dhidi ya JKT Tanzania. Bado straika wa Klabu ya Yanga Clement Mzize ni kinara wa mabao - NBC PL ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ 2024-25 hadi sasa
1. Clement Mzize (Yanga): 9๏ธโƒฃ
2. Jean Ahoua (Simba): 8๏ธโƒฃ
3. Lionel Ateba (Simba): 8๏ธโƒฃ  
4. Elvis Rupia Singida 8๏ธโƒฃ

Mchora katuni wa DW Saidi Michael ameilezea Klabu ya Yanga kwa namna ya tofauti katika kuadhimisha miaka 90 tokea kuanzishwa kwake. Kwako wewe mwananchi, miaka 90 ya klabu yako inasadifu nini?

daima_mbele_'s tweet image. Mchora katuni wa DW Saidi Michael ameilezea Klabu ya Yanga kwa namna ya tofauti katika kuadhimisha miaka 90 tokea kuanzishwa kwake.

Kwako wewe mwananchi,  miaka 90 ya klabu yako inasadifu nini?

MIAKA 90 YA YANGA SC: โ€œNembo ya Young Africans imepitia mabadiliko mara nneโ€ maneno Mzee Mudhihir Mudhihir akitoa historian ya safari ya Yanga ambayo leo Februari 11, inatimiza miaka 90 tangu kuanzishwa kwake. Via @azamsportshd #YangaSC #YangaMiaka90

daima_mbele_'s tweet image. MIAKA 90 YA YANGA SC: โ€œNembo ya Young Africans imepitia mabadiliko mara nneโ€ maneno Mzee Mudhihir Mudhihir akitoa historian ya safari ya Yanga ambayo leo Februari 11, inatimiza miaka 90 tangu kuanzishwa kwake.

Via @azamsportshd

#YangaSC #YangaMiaka90

Vipi wananchi, wazunguโšฝ๏ธโšฝ๏ธ wamo kwa kocha wetu mpya??

daima_mbele_'s tweet image. Vipi wananchi, wazunguโšฝ๏ธโšฝ๏ธ wamo kwa kocha wetu mpya??

ILIANZISHWA Kama njia ya kupigania uhuru wa Tanganyika baada ya Wakoloni kugomea mikusanyiko nchini isipokuwa soka tu.Ikapitia vipindi vigumu na kutokea mgawanyiko kwa nyakati tofauti tofauti ukiwemo ule uliosababisha kutokea kwa Yanga asili na Yanga Kampuni, sasa ina miaka 90.

daima_mbele_'s tweet image. ILIANZISHWA Kama njia ya kupigania uhuru wa Tanganyika baada ya Wakoloni kugomea mikusanyiko nchini isipokuwa soka tu.Ikapitia vipindi vigumu na kutokea mgawanyiko kwa nyakati tofauti tofauti ukiwemo ule uliosababisha kutokea kwa Yanga asili na Yanga Kampuni, sasa ina miaka 90.

Maxi Nzengeli ataongeza mkataba wa miaka miwili ya kuendelea kubaki Ndani ya Yanga SC.

daima_mbele_'s tweet image. Maxi Nzengeli  ataongeza mkataba wa miaka miwili ya kuendelea kubaki Ndani ya Yanga SC.

Mpira umekwisha, lakini mbio za ubingwa badoo sana.

daima_mbele_'s tweet image. Mpira umekwisha, lakini mbio za ubingwa badoo sana.

United States Trends

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.