mankipinde's profile picture. fighter 💪

kipinde

@mankipinde

fighter 💪

kipinde รีโพสต์แล้ว

7 Best Color Combos For Men: 1.

MensCanvas's tweet image. 7 Best Color Combos For Men:

1.

kipinde รีโพสต์แล้ว

Wakuu kuna haya Mashamba yanauzwa, Kama una mzigo we ruka na mojawapo: Iringa, Wilaya ya Mafinga, Kata ya Mdabulo, Isipii. Ekari 10: Shamba na Miti Pine (miaka 8) -> 13.5M - ⁠Ekari 20: Shamba na Miti Pine (miaka 7) -> 21M


kipinde รีโพสต์แล้ว

Inakuja siku, Wasiotujua, majibu ya Dua zetu wataita BAHATI. Wasiotufahamu, matokeo ya jasho letu, watasema TUNABEBWA. Wasiotupenda, riziki itakapokuwa upande wetu baada ya msoto, watahusihanisha na USHIRIKINA. Wasichokijua ni Mungu ndie aliyeshika kalamu ya ndoto zetu.🙏


kipinde รีโพสต์แล้ว

Nivea ni deodorant ambazo watu wengi wametumia. Ipi kati ya hizi umewahi kutumia.??

kalage_jr's tweet image. Nivea ni deodorant ambazo watu wengi wametumia. Ipi kati ya hizi umewahi kutumia.??

kipinde รีโพสต์แล้ว

Semaji Ahmed Ally baada ya mchezo. #WenyeNchi #NguvuMoja


kipinde รีโพสต์แล้ว

Semaji Ahmed Ally kuhusu kiwango cha Joshua Mutale. #WenyeNchi #NguvuMoja


kipinde รีโพสต์แล้ว

Ukipata muda tazama movie (10) za Kungalia weekend hii Movie Kali Za Kijeshi Za Muda Wote (Thread 🧵 👇🏾)

KingPablotz's tweet image. Ukipata muda tazama movie (10) za Kungalia weekend hii

Movie Kali Za Kijeshi Za Muda Wote (Thread 🧵 👇🏾)

kipinde รีโพสต์แล้ว

Hiv mnajua nini maana ya kusikia mchanga juu ya bati la nyumbani kwako?! Unajua wachawi hutumia njia gani kujua kama hii nyumba inaingilika au lah?! Unajua madhara ya kumpa mtu msaada wa hela ikiwa ni coin na sio noti au maana ya nyumba kuwa na wadudu wengi?!


kipinde รีโพสต์แล้ว

Ok, Mnakumbuka huyu dada wa kwenye kipindi cha Pop Baloon swahili Edition. Alisema hataki mtu wa kumuoa, Yeye bado mdogo, anataka wa kuzunguka nae tu! Hatimae kampata 😂😂😂 Waangalie... Video kwa Comments 👇

Rydx_017's tweet image. Ok,

Mnakumbuka huyu dada wa kwenye kipindi cha Pop Baloon swahili Edition.

Alisema hataki mtu wa kumuoa,

Yeye bado mdogo, anataka wa kuzunguka nae tu!

Hatimae kampata 😂😂😂

Waangalie...

Video kwa Comments 👇

kipinde รีโพสต์แล้ว

Waziri wa habari sanaa na Michezo kawataja Dogo Pateni na Zuchu wakati anawasilisha bajeti Na kusema kuwa unapoenda kinyume na Maadili hatakama mgeni rasmi ni nani Utachukuliwa Hatua... Video kwa Comments 👇

Rydx_017's tweet image. Waziri wa habari sanaa na Michezo kawataja Dogo Pateni na Zuchu wakati anawasilisha bajeti

Na kusema kuwa unapoenda kinyume na Maadili hatakama mgeni rasmi ni nani 

Utachukuliwa Hatua...

Video kwa Comments 👇

kipinde รีโพสต์แล้ว

Enzi zile kabla Dogo Paten na Sajent, Hawajagombana.. Angalia na Enzi hizi Paten anapamda Ndege... Video kwa Comments 👇

Rydx_017's tweet image. Enzi zile kabla Dogo Paten na Sajent,

Hawajagombana..

Angalia na Enzi hizi Paten anapamda Ndege...

Video kwa Comments 👇

kipinde รีโพสต์แล้ว

Diamond Aliimba mpaka akaona joto suti aliyoivaa ikabidi aivue kwanza 😅😅 Ilikuwa ni Gym Tosha!! Angalia perfomance ya Diamond, Zuchu, joel Lwaga, Lady JD na D. voice kwenye uzinduzi wa Hoteli.. Video kwa Comments 👇

Rydx_017's tweet image. Diamond Aliimba mpaka akaona joto suti aliyoivaa ikabidi aivue kwanza 😅😅

Ilikuwa ni Gym Tosha!!

Angalia perfomance ya Diamond, Zuchu, joel Lwaga, Lady JD na D. voice kwenye uzinduzi wa Hoteli..

Video kwa Comments 👇

kipinde รีโพสต์แล้ว

“nilikutana na Joshua kupitia Facebook na nililala naye mara tatu, moja kati ya hizo ilikuwa choo cha kanisa, baada ya hapo sikumuona wala kumsikia tena” hakuna barua yoyote, hakuna mawasiliano, wala kunitembelea, alipotea ghafla sana. nilienda kwake kumtembelea lakini…

kinlop_'s tweet image. “nilikutana na Joshua kupitia Facebook na nililala naye mara tatu, moja kati ya hizo ilikuwa choo cha kanisa, baada ya hapo sikumuona wala kumsikia tena”

      hakuna barua yoyote, hakuna mawasiliano, wala kunitembelea, alipotea ghafla sana. nilienda kwake kumtembelea lakini…

kipinde รีโพสต์แล้ว

Tofauti Ya Mahusiano Duniani Kati Ya Italians, Americans, French vs WaTanzania” Shuka Na Uzi ⤵️🧵 Mahusiano ya Waitaliano🇮🇹: Siku ya 1 = Sex Siku ya 2 = Sex tena. Mahusiano ya Wamarekani🇺🇲: Siku ya 1 = Chakula cha mchana Siku ya 2 = Chakula cha jioni na hugs. Siku ya 3 = Sex…

mudryk_jr's tweet image. Tofauti Ya Mahusiano Duniani Kati Ya Italians, Americans, French vs WaTanzania”

Shuka Na Uzi ⤵️🧵

Mahusiano ya Waitaliano🇮🇹:
Siku ya 1 = Sex
Siku ya 2 = Sex tena.

Mahusiano ya Wamarekani🇺🇲:
Siku ya 1 = Chakula cha mchana
Siku ya 2 = Chakula cha jioni na hugs.
Siku ya 3 = Sex…

kipinde รีโพสต์แล้ว

Kwa upande wako, movie gani ya kijeshi ni kali kupita zote? 🔥

KingPablotz's tweet image. Kwa upande wako, movie gani ya kijeshi ni kali kupita zote? 🔥

kipinde รีโพสต์แล้ว

Simba fans in Tanzania, send in your videos, let’s see what happening in the country at the moment. Historic day. 🇹🇿🦁 #CAFCCwithMicky #NguvuMoja


kipinde รีโพสต์แล้ว

Wanangu movie gani nicheki Pasaka Hii? Iwe ya KISAGO afu latest 2025. Uwongo usiwe mwingi sana.


kipinde รีโพสต์แล้ว

Naomba mtu alieweshe kwa ukali ,tena kwa kunifokea kama mtoto mdogo..... tofauti kati ya google na chrome??

massuidentity's tweet image. Naomba mtu alieweshe kwa ukali ,tena kwa kunifokea kama mtoto mdogo..... tofauti kati ya google na chrome??
massuidentity's tweet image. Naomba mtu alieweshe kwa ukali ,tena kwa kunifokea kama mtoto mdogo..... tofauti kati ya google na chrome??

kipinde รีโพสต์แล้ว

Kwa mfano ukiambiwa uchague ununue gari ya biashara cash 155m au utoe advance 45m then ulipe 4.5m kila mwezi kwa miaka mitatu. Ipi option nzuri?


kipinde รีโพสต์แล้ว

Ile Muvi Ambayo Haitaweza Kuchuja Kwako Milele Ni Ipi? 🎬 Unaweza Kuangalia Mara Kibao, Lakini Bado Inakuvutia Kila Wakati! 😍🍿 Ni Muvi Ipi Hiyo? 👇🏽


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.