#jamiiforums search results

KENYA: Serikali imetangaza kuingiza Vikosi vya Jeshi la Ulinzi maeneo yote yanayodaiwa kuwa na Vurugu kwa lengo la kusaidiana na Askari Polisi katika kuwatuliza Waandamanaji #FreeSpeech #JamiiForums

SukaVibes's tweet image. KENYA: Serikali imetangaza kuingiza Vikosi vya Jeshi la Ulinzi maeneo yote yanayodaiwa kuwa na Vurugu kwa lengo la kusaidiana na Askari Polisi katika kuwatuliza Waandamanaji  #FreeSpeech #JamiiForums

⚠️ Saratani ya mlango wa kizazi ni changamoto inayogharimu maisha ya wanawake wengi. 🗓️Ungana nasi jioni pamoja na #JamiiForums upate nafasi ya kupata elimu na kuuliza maswali kuhusu chanjo ya HPV. ➡️ Inayotolewa sasa bila malipo kwa mabinti wa miaka 9 hadi 14.

NormanJonasMD's tweet image. ⚠️ Saratani ya mlango wa kizazi ni changamoto inayogharimu maisha ya wanawake wengi.

🗓️Ungana nasi jioni pamoja na #JamiiForums upate nafasi ya kupata elimu na kuuliza maswali kuhusu chanjo ya HPV.

➡️ Inayotolewa sasa bila malipo kwa mabinti wa miaka 9 hadi 14.

Tukichagua kutumia maneno yenye heshima, tutaweza kujenga mazingira salama, yenye amani kwa wote mtandaoni. Chagua kuandika kwa hekima. Chagua kuandika kwa upendo. #JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights #KauliZaChuki #StopHateSpeech #DigitalPeace #NoToHateSpeech

JamiiCheck's tweet image. Tukichagua kutumia maneno yenye heshima, tutaweza kujenga mazingira salama, yenye amani kwa wote mtandaoni.

Chagua kuandika kwa hekima. Chagua kuandika kwa upendo.

#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights #KauliZaChuki #StopHateSpeech #DigitalPeace #NoToHateSpeech…

Akizungumza katika Mahafali ya 28 ya Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) ngazi ya Astashahada na Stashahada, Desemba 15, 2023, Mkurugenzi Mtendaji wa #JamiiForums, Maxence Melo alisema Binadamu yeyote anategemea Taarifa ili afanye Maamuzi Sahihi, hivyo ubovu wa…

JamiiCheck's tweet image. Akizungumza katika Mahafali ya 28 ya Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) ngazi ya Astashahada na Stashahada, Desemba 15, 2023, Mkurugenzi Mtendaji wa #JamiiForums, Maxence Melo alisema Binadamu yeyote anategemea Taarifa ili afanye Maamuzi Sahihi, hivyo ubovu wa…

Jiunge nasi katika Mjadala Maalum na Wataalamu wa Uchumi, Alhamisi hii kuanzia Saa 1 jioni hadi 3 usiku, kupitia Xspaces ya JamiiForums, ambapo watachambua kwa kina sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL na Shirika la Umeme (TANESCO) na athari zake kwa taifa #JamiiForums

masoudkipanya's tweet image. Jiunge nasi katika Mjadala Maalum na Wataalamu wa Uchumi, Alhamisi hii kuanzia Saa 1 jioni hadi 3 usiku, kupitia Xspaces ya JamiiForums, ambapo watachambua kwa kina sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL na Shirika la Umeme (TANESCO) na athari zake kwa taifa

#JamiiForums…

⚡ Win JamiiForums readers by solving the thread’s blocker, linking with anchor text to a page that repeats the promise, and giving one clear next step. Read: adclicks.thereview.website/jamiiforums-ex… #JamiiForums #Publishing #Content #Adclicks #Growth

snipesearch_uk's tweet image. ⚡ Win JamiiForums readers by solving the thread’s blocker, linking with anchor text to a page that repeats the promise, and giving one clear next step. 

Read: adclicks.thereview.website/jamiiforums-ex… #JamiiForums #Publishing #Content #Adclicks #Growth

Iko hivi; PICHA A : Ni kilichokuwa kiwanda cha kusindika nyama cha Tanganyika Peckers kilichojengwa na wakoloni eneo la kawe mwaka 1947. Kwa mujibu wa #jamiiforums kiwanda hicho kiliweza kuajiri Watanganyika zaidi ya 2500. Yaani kilitoa ajira za moja kwa moja 2500 achilia mbali…

kijumbe2's tweet image. Iko hivi;

PICHA A : Ni kilichokuwa kiwanda cha kusindika nyama cha Tanganyika Peckers kilichojengwa na wakoloni eneo la kawe mwaka 1947. Kwa mujibu wa #jamiiforums kiwanda hicho kiliweza kuajiri Watanganyika zaidi ya 2500. Yaani kilitoa ajira za moja kwa moja 2500 achilia mbali…

Maneno yana nguvu. Tuchague kusema kwa Heshima, si kwa Kudhalilisha. Kataa lugha ya Chuki, tujenge jamii ya Utu. #JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights #KauliZaChuki #StopHateSpeech #DigitalPeace #NoToHateSpeech #ResponsiblePosting #JamiiYenyeUelewa

JamiiCheck's tweet image. Maneno yana nguvu. Tuchague kusema kwa Heshima, si kwa Kudhalilisha. 

Kataa lugha ya Chuki, tujenge jamii ya Utu.

#JamiiForums #JamiiAfrica #HumanRights #KauliZaChuki #StopHateSpeech #DigitalPeace #NoToHateSpeech #ResponsiblePosting #JamiiYenyeUelewa

Umri wako haufafanui Busara zako, Elimu yako haifafanui akili zako, na Umaarufu wako haufafanui wewe ni nani kwenye jamii, kitakacho kufafanua wewe ni matendo yako mbele ya jamii. #jamiiforums #elimika #busara

abdalahbenjamin's tweet image. Umri wako haufafanui Busara zako, Elimu yako haifafanui akili zako, na Umaarufu wako haufafanui wewe ni nani kwenye jamii, kitakacho kufafanua wewe ni matendo yako mbele ya jamii.
#jamiiforums #elimika #busara

Wadau wa JamiiCheck walishiriki Kuthibitisha kwa kubaini mapungufu yanayoonesha kuwa grafiki hiyo haikutolewa na #JamiiForums, bali ilihaririwa kutoka kwenye chapisho lenye Taarifa tofauti. Kupitia QR-CODE, ilibainika kuwa grafiki hiyo ilitokana na chapisho lililohusu tamko la…

JamiiCheck's tweet image. Wadau wa JamiiCheck walishiriki Kuthibitisha kwa kubaini mapungufu yanayoonesha kuwa grafiki hiyo haikutolewa na #JamiiForums, bali ilihaririwa kutoka kwenye chapisho lenye Taarifa tofauti.

Kupitia QR-CODE, ilibainika kuwa grafiki hiyo ilitokana na chapisho lililohusu tamko la…
JamiiCheck's tweet image. Wadau wa JamiiCheck walishiriki Kuthibitisha kwa kubaini mapungufu yanayoonesha kuwa grafiki hiyo haikutolewa na #JamiiForums, bali ilihaririwa kutoka kwenye chapisho lenye Taarifa tofauti.

Kupitia QR-CODE, ilibainika kuwa grafiki hiyo ilitokana na chapisho lililohusu tamko la…
JamiiCheck's tweet image. Wadau wa JamiiCheck walishiriki Kuthibitisha kwa kubaini mapungufu yanayoonesha kuwa grafiki hiyo haikutolewa na #JamiiForums, bali ilihaririwa kutoka kwenye chapisho lenye Taarifa tofauti.

Kupitia QR-CODE, ilibainika kuwa grafiki hiyo ilitokana na chapisho lililohusu tamko la…
JamiiCheck's tweet image. Wadau wa JamiiCheck walishiriki Kuthibitisha kwa kubaini mapungufu yanayoonesha kuwa grafiki hiyo haikutolewa na #JamiiForums, bali ilihaririwa kutoka kwenye chapisho lenye Taarifa tofauti.

Kupitia QR-CODE, ilibainika kuwa grafiki hiyo ilitokana na chapisho lililohusu tamko la…

Uongozi si nafasi ya kufaidika, ni wajibu wa kutumikia wananchi kwa uaminifu. Kabla ya kuchagua kiongozi, angalia anasimamia nini na ana uwezo gani, sio kumchagua kwa ushabiki au hisia. #JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation

restlessdevtanz's tweet image. Uongozi si nafasi ya kufaidika, ni wajibu wa kutumikia wananchi kwa uaminifu. 

Kabla ya kuchagua kiongozi, angalia anasimamia nini na ana uwezo gani, sio kumchagua kwa ushabiki au hisia.

#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation

Yakupasa kuepuka kuamini kila jambo unalokutana nalo Mtandaoni kabla hujafanya uhakiki na kujua ukweli wake. #JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

JamiiCheck's tweet image. Yakupasa kuepuka kuamini kila jambo unalokutana nalo Mtandaoni kabla hujafanya uhakiki na kujua ukweli wake.

#JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

Turejee enzi zile za shule, pale tulipowapa Walimu wetu majina ya utani yaliyojaa ubunifu na ucheshi, bila shaka kila mmoja anakumbuka jina moja au mawili yaliyobaki kuwa kumbukumbu zetu mpaka leo. Kushiriki mjadala jamii.app/MajinaWalimuUt… #JamiiAfrica #JamiiForums #JFChitChat

JamiiForums's tweet image. Turejee enzi zile za shule, pale tulipowapa Walimu wetu majina ya utani yaliyojaa ubunifu na ucheshi, bila shaka kila mmoja anakumbuka jina moja au mawili yaliyobaki kuwa kumbukumbu zetu mpaka leo.

Kushiriki mjadala jamii.app/MajinaWalimuUt…

#JamiiAfrica #JamiiForums #JFChitChat
JamiiForums's tweet image. Turejee enzi zile za shule, pale tulipowapa Walimu wetu majina ya utani yaliyojaa ubunifu na ucheshi, bila shaka kila mmoja anakumbuka jina moja au mawili yaliyobaki kuwa kumbukumbu zetu mpaka leo.

Kushiriki mjadala jamii.app/MajinaWalimuUt…

#JamiiAfrica #JamiiForums #JFChitChat
JamiiForums's tweet image. Turejee enzi zile za shule, pale tulipowapa Walimu wetu majina ya utani yaliyojaa ubunifu na ucheshi, bila shaka kila mmoja anakumbuka jina moja au mawili yaliyobaki kuwa kumbukumbu zetu mpaka leo.

Kushiriki mjadala jamii.app/MajinaWalimuUt…

#JamiiAfrica #JamiiForums #JFChitChat

Uzalishaji na usambazaji wa taarifa potofu husababisha madhara makubwa kwa jamii Je, umeshawahi kupata madhara gani kutokana na taarifa potofu? #JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

JamiiCheck's tweet image. Uzalishaji na usambazaji wa taarifa potofu husababisha madhara makubwa kwa jamii

Je, umeshawahi kupata madhara gani kutokana na taarifa potofu?

#JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

Hayo sio maneno yangu ni kwa mujibu wa #jamiiforums tafadhali acheni makasiriko Shabiki wa Simba sema woyooo😂😂😂🤣

Saidjuma_'s tweet image. Hayo sio maneno yangu ni kwa mujibu wa #jamiiforums tafadhali acheni makasiriko
Shabiki wa Simba sema woyooo😂😂😂🤣

Tembelea Jukwaa la JamiiCheck kuweza kupata uhalisia (Ukweli/Uzushi/Nadharia) wa Taarifa Mbalimbali Kufikia Jukwaa hili bofya JamiiCheck.com #JamiiForums #JamiiCheck #HakikiTaarifa #Misinformation #Disinformation #FactCheck


Taarifa Potofu huzalishwa kila siku ndani na nje ya Mitandao, ni muhimu kuchukua hatua kuhakiki taarifa mbalimbali kwa kutembelea #JamiCheck, jukwaa la uhakiki ili ujiridhishe uhalali wa taarifa husika #JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

JamiiCheck's tweet image. Taarifa Potofu huzalishwa kila siku ndani na nje ya Mitandao, ni muhimu kuchukua hatua kuhakiki taarifa mbalimbali kwa kutembelea #JamiCheck, jukwaa la uhakiki ili ujiridhishe uhalali wa taarifa husika

#JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

No results for "#jamiiforums"

Uhuru wa kujieleza mtandao I ni haki ya kila mtu, lakini si ruhusa ya kudhalilisha wengine. Toa maoni yako kwa hoja zenye heshima ili kujenga jamii yenye fikra pana na maelewano. #JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia

restlessdevtanz's tweet image. Uhuru wa kujieleza mtandao I ni haki ya kila mtu, lakini si ruhusa ya kudhalilisha wengine. 

Toa maoni yako kwa hoja zenye heshima ili kujenga jamii yenye fikra pana na maelewano.

#JamiiAfrica #JamiiForums #RestlessDevelopment #RaiaWajibika #CivicEducation #SautiYaRaia

Akizungumza katika Mahafali ya 28 ya Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) ngazi ya Astashahada na Stashahada, Desemba 15, 2023, Mkurugenzi Mtendaji wa #JamiiForums, Maxence Melo alisema Binadamu yeyote anategemea Taarifa ili afanye Maamuzi Sahihi, hivyo ubovu wa…

JamiiCheck's tweet image. Akizungumza katika Mahafali ya 28 ya Chuo cha Uandishi wa Habari Dar es Salaam (DSJ) ngazi ya Astashahada na Stashahada, Desemba 15, 2023, Mkurugenzi Mtendaji wa #JamiiForums, Maxence Melo alisema Binadamu yeyote anategemea Taarifa ili afanye Maamuzi Sahihi, hivyo ubovu wa…

Uzalishaji na usambazaji wa taarifa potofu husababisha madhara makubwa kwa jamii Je, umeshawahi kupata madhara gani kutokana na taarifa potofu? #JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

JamiiCheck's tweet image. Uzalishaji na usambazaji wa taarifa potofu husababisha madhara makubwa kwa jamii

Je, umeshawahi kupata madhara gani kutokana na taarifa potofu?

#JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

Yakupasa kuepuka kuamini kila jambo unalokutana nalo Mtandaoni kabla hujafanya uhakiki na kujua ukweli wake. #JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

JamiiCheck's tweet image. Yakupasa kuepuka kuamini kila jambo unalokutana nalo Mtandaoni kabla hujafanya uhakiki na kujua ukweli wake.

#JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

Wananchi wakiwa na Utamaduni wa kuhakiki taarifa, Viongozi watawajibika kuanza kutoa taarifa sahihi ili kukwepa kukosolewa kwa kutoa taarifa potofu Soma jamii.app/UhakikiUwajibi… #JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

JamiiCheck's tweet image. Wananchi wakiwa na Utamaduni wa kuhakiki taarifa, Viongozi watawajibika kuanza kutoa taarifa sahihi ili kukwepa kukosolewa kwa kutoa taarifa potofu

Soma jamii.app/UhakikiUwajibi…

#JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

Taarifa Potofu huzalishwa kila siku ndani na nje ya Mitandao, ni muhimu kuchukua hatua kuhakiki taarifa mbalimbali kwa kutembelea #JamiCheck, jukwaa la uhakiki ili ujiridhishe uhalali wa taarifa husika #JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

JamiiCheck's tweet image. Taarifa Potofu huzalishwa kila siku ndani na nje ya Mitandao, ni muhimu kuchukua hatua kuhakiki taarifa mbalimbali kwa kutembelea #JamiCheck, jukwaa la uhakiki ili ujiridhishe uhalali wa taarifa husika

#JamiiForums #FactsChecking #FactsCheck #HakikiTaarifa #VisitJamiiCheck

Umri wako haufafanui Busara zako, Elimu yako haifafanui akili zako, na Umaarufu wako haufafanui wewe ni nani kwenye jamii, kitakacho kufafanua wewe ni matendo yako mbele ya jamii. #jamiiforums #elimika #busara

abdalahbenjamin's tweet image. Umri wako haufafanui Busara zako, Elimu yako haifafanui akili zako, na Umaarufu wako haufafanui wewe ni nani kwenye jamii, kitakacho kufafanua wewe ni matendo yako mbele ya jamii.
#jamiiforums #elimika #busara

Mdau wetu, Shiriki nasi katika kufanya uhakiki wa Nadharia hii iliyopo kwenye Jamii zetu. Tuandikie unachokiamini pamoja na sababu za kwanini unaamini hivyo #JamiiCheck #JamiiForums #HakikiTaarifa #Misinformation #Disinformation #VisitJamiiCheck

JamiiCheck's tweet image. Mdau wetu, Shiriki nasi katika kufanya uhakiki wa Nadharia hii iliyopo kwenye Jamii zetu. Tuandikie unachokiamini pamoja na sababu za kwanini unaamini hivyo

#JamiiCheck #JamiiForums #HakikiTaarifa #Misinformation #Disinformation #VisitJamiiCheck

Baadhi ya maoni yaliyotolewa na Wadau wa #JamiiChek kuhusu Nadharia inayodai kuwa Mwanamke akichuma Mboga za majani wakati wa Hedhi, bustani au mboga inayobakia shambani hukauka Je, unakubaliana na maoni haya? Soma jamii.app/MythZaHedhi #JamiiForums #FactsChecking

JamiiCheck's tweet image. Baadhi ya maoni yaliyotolewa na Wadau wa #JamiiChek kuhusu Nadharia inayodai kuwa Mwanamke akichuma Mboga za majani wakati wa Hedhi, bustani au mboga inayobakia shambani hukauka

Je, unakubaliana na maoni haya?

Soma jamii.app/MythZaHedhi

#JamiiForums #FactsChecking…
JamiiCheck's tweet image. Baadhi ya maoni yaliyotolewa na Wadau wa #JamiiChek kuhusu Nadharia inayodai kuwa Mwanamke akichuma Mboga za majani wakati wa Hedhi, bustani au mboga inayobakia shambani hukauka

Je, unakubaliana na maoni haya?

Soma jamii.app/MythZaHedhi

#JamiiForums #FactsChecking…
JamiiCheck's tweet image. Baadhi ya maoni yaliyotolewa na Wadau wa #JamiiChek kuhusu Nadharia inayodai kuwa Mwanamke akichuma Mboga za majani wakati wa Hedhi, bustani au mboga inayobakia shambani hukauka

Je, unakubaliana na maoni haya?

Soma jamii.app/MythZaHedhi

#JamiiForums #FactsChecking…

Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye alizungumza haya alipotembelea Ofisi za #JamiiForums Mei 9, 2024 #Jamiicheck #HakikiTaarifa #Disinformation #FactCheck #VisitJamiiCheck

JamiiCheck's tweet image. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye alizungumza haya alipotembelea Ofisi za #JamiiForums Mei 9, 2024

#Jamiicheck #HakikiTaarifa #Disinformation #FactCheck #VisitJamiiCheck

Wadau wa JamiiCheck walishiriki Kuthibitisha kwa kubaini mapungufu yanayoonesha kuwa grafiki hiyo haikutolewa na #JamiiForums, bali ilihaririwa kutoka kwenye chapisho lenye Taarifa tofauti. Kupitia QR-CODE, ilibainika kuwa grafiki hiyo ilitokana na chapisho lililohusu tamko la…

JamiiCheck's tweet image. Wadau wa JamiiCheck walishiriki Kuthibitisha kwa kubaini mapungufu yanayoonesha kuwa grafiki hiyo haikutolewa na #JamiiForums, bali ilihaririwa kutoka kwenye chapisho lenye Taarifa tofauti.

Kupitia QR-CODE, ilibainika kuwa grafiki hiyo ilitokana na chapisho lililohusu tamko la…
JamiiCheck's tweet image. Wadau wa JamiiCheck walishiriki Kuthibitisha kwa kubaini mapungufu yanayoonesha kuwa grafiki hiyo haikutolewa na #JamiiForums, bali ilihaririwa kutoka kwenye chapisho lenye Taarifa tofauti.

Kupitia QR-CODE, ilibainika kuwa grafiki hiyo ilitokana na chapisho lililohusu tamko la…
JamiiCheck's tweet image. Wadau wa JamiiCheck walishiriki Kuthibitisha kwa kubaini mapungufu yanayoonesha kuwa grafiki hiyo haikutolewa na #JamiiForums, bali ilihaririwa kutoka kwenye chapisho lenye Taarifa tofauti.

Kupitia QR-CODE, ilibainika kuwa grafiki hiyo ilitokana na chapisho lililohusu tamko la…
JamiiCheck's tweet image. Wadau wa JamiiCheck walishiriki Kuthibitisha kwa kubaini mapungufu yanayoonesha kuwa grafiki hiyo haikutolewa na #JamiiForums, bali ilihaririwa kutoka kwenye chapisho lenye Taarifa tofauti.

Kupitia QR-CODE, ilibainika kuwa grafiki hiyo ilitokana na chapisho lililohusu tamko la…

Kumeibuka chapisho la Desemba 22, 2024 lenye nembo ya #JamiiForums likimnukuu Freeman Mbowe akisema hagombei nafasi ya Uenyekiti ila Tundu Lissu atauwa Chama. Ufuatiliaji wa JamiiCheck umebaini kuwa chapisho hilo halina Ukweli na wala halijawahi kuchapishwa katika kurasa rasmi…

JamiiCheck's tweet image. Kumeibuka chapisho la Desemba 22, 2024 lenye nembo ya #JamiiForums likimnukuu Freeman Mbowe akisema hagombei nafasi ya Uenyekiti ila Tundu Lissu atauwa Chama.

Ufuatiliaji wa JamiiCheck umebaini kuwa chapisho hilo halina Ukweli na wala halijawahi kuchapishwa katika kurasa rasmi…

⚠️ Saratani ya mlango wa kizazi ni changamoto inayogharimu maisha ya wanawake wengi. 🗓️Ungana nasi jioni pamoja na #JamiiForums upate nafasi ya kupata elimu na kuuliza maswali kuhusu chanjo ya HPV. ➡️ Inayotolewa sasa bila malipo kwa mabinti wa miaka 9 hadi 14.

NormanJonasMD's tweet image. ⚠️ Saratani ya mlango wa kizazi ni changamoto inayogharimu maisha ya wanawake wengi.

🗓️Ungana nasi jioni pamoja na #JamiiForums upate nafasi ya kupata elimu na kuuliza maswali kuhusu chanjo ya HPV.

➡️ Inayotolewa sasa bila malipo kwa mabinti wa miaka 9 hadi 14.

Mdau wa JamiiCheck.com alihitaji kupata Uhalisia wa posti zinazosambaa zenye nembo za #JamiiForums, #TheChanzo, #MwanaHabari, na #HabariDigital na picha za Freeman Mbowe na Tundu Lissu na jumbe kama 'Mbowe: Lissu anatunza Fedha zake Ubelgiji bado anawahadaa Watu…

JamiiCheck's tweet image. Mdau wa JamiiCheck.com alihitaji kupata Uhalisia wa posti zinazosambaa zenye nembo za #JamiiForums, #TheChanzo, #MwanaHabari, na #HabariDigital na picha za Freeman Mbowe na Tundu Lissu na jumbe kama 'Mbowe: Lissu anatunza Fedha zake Ubelgiji bado anawahadaa Watu…
JamiiCheck's tweet image. Mdau wa JamiiCheck.com alihitaji kupata Uhalisia wa posti zinazosambaa zenye nembo za #JamiiForums, #TheChanzo, #MwanaHabari, na #HabariDigital na picha za Freeman Mbowe na Tundu Lissu na jumbe kama 'Mbowe: Lissu anatunza Fedha zake Ubelgiji bado anawahadaa Watu…
JamiiCheck's tweet image. Mdau wa JamiiCheck.com alihitaji kupata Uhalisia wa posti zinazosambaa zenye nembo za #JamiiForums, #TheChanzo, #MwanaHabari, na #HabariDigital na picha za Freeman Mbowe na Tundu Lissu na jumbe kama 'Mbowe: Lissu anatunza Fedha zake Ubelgiji bado anawahadaa Watu…
JamiiCheck's tweet image. Mdau wa JamiiCheck.com alihitaji kupata Uhalisia wa posti zinazosambaa zenye nembo za #JamiiForums, #TheChanzo, #MwanaHabari, na #HabariDigital na picha za Freeman Mbowe na Tundu Lissu na jumbe kama 'Mbowe: Lissu anatunza Fedha zake Ubelgiji bado anawahadaa Watu…

Jiunge nasi katika Mjadala Maalum na Wataalamu wa Uchumi, Alhamisi hii kuanzia Saa 1 jioni hadi 3 usiku, kupitia Xspaces ya JamiiForums, ambapo watachambua kwa kina sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL na Shirika la Umeme (TANESCO) na athari zake kwa taifa #JamiiForums

masoudkipanya's tweet image. Jiunge nasi katika Mjadala Maalum na Wataalamu wa Uchumi, Alhamisi hii kuanzia Saa 1 jioni hadi 3 usiku, kupitia Xspaces ya JamiiForums, ambapo watachambua kwa kina sakata la Kampuni ya Kufua Umeme ya IPTL na Shirika la Umeme (TANESCO) na athari zake kwa taifa

#JamiiForums…

KENYA: Serikali imetangaza kuingiza Vikosi vya Jeshi la Ulinzi maeneo yote yanayodaiwa kuwa na Vurugu kwa lengo la kusaidiana na Askari Polisi katika kuwatuliza Waandamanaji #FreeSpeech #JamiiForums

SukaVibes's tweet image. KENYA: Serikali imetangaza kuingiza Vikosi vya Jeshi la Ulinzi maeneo yote yanayodaiwa kuwa na Vurugu kwa lengo la kusaidiana na Askari Polisi katika kuwatuliza Waandamanaji  #FreeSpeech #JamiiForums

Hayo sio maneno yangu ni kwa mujibu wa #jamiiforums tafadhali acheni makasiriko Shabiki wa Simba sema woyooo😂😂😂🤣

Saidjuma_'s tweet image. Hayo sio maneno yangu ni kwa mujibu wa #jamiiforums tafadhali acheni makasiriko
Shabiki wa Simba sema woyooo😂😂😂🤣

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.


United States Trends