Afya_code's profile picture. Turning BOYS into Men| Afya imara ya Uzazi 

https://chat.whatsapp.com/FZmP7C7dBvQ2ApKlwCfrLY

Health with Mhando 🩺

@Afya_code

Turning BOYS into Men| Afya imara ya Uzazi https://chat.whatsapp.com/FZmP7C7dBvQ2ApKlwCfrLY

ปักหมุด

Happy New Month... Ni siku nyingine njema tena na Tunamshukuru Mwenyezi Mungu kwa nafasi hii aliyotupatia Nichukue nafasi hii kutangaza kuwa bado nipo kwenye maandalizi ya E-book yako ya #KuwaNiceGuyniUgonjwa Hivyo tarehe rasmi ya e-book kutoka nitaitaja Nashukuru kwa…


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Mwanaume fanyia kazi " Self Esteem" yako na kila kitu kitabadilika Ukianza kujikubali kama ulivyo hautotumia nguvu kubwa kuishi nje ya Uhalisia wako ili ukubalike nje #KuwaNiceGuyniUgonjwa


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Nilivyoacha kuwaza " Nikimwambia sijapenda alichofanya atajisikiaje/ atanionaje...?" " Yule demu nampenda lakini nikimwambia ataniona muhuni...Acha nile kwa macho" Kila kitu kilibadilika upande wangu Niliepuka friendzone . Nikapata pisi iliyonipenda MIMI KAMA MIMI…


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Moja ya faida ya kusoma vitabu vya mindset ni kukufanya kuwa na MAONO (VISION) za mbali.. 🧵 Repost🔁 Follow @shabirnakamu Inawezekana wengi wetu hatufahamu uzito halisi wa kuwa na MAONO ya kueleweka.. katika andiko hili nitakuonyesha (kwa mifano halisi) ni kwa namna gani…👇🏾

shabirnakamu's tweet image. Moja ya faida ya kusoma vitabu vya mindset ni kukufanya kuwa na MAONO (VISION) za mbali..

🧵
Repost🔁
Follow @shabirnakamu

Inawezekana wengi wetu hatufahamu uzito halisi wa kuwa na MAONO ya kueleweka..

katika andiko hili nitakuonyesha (kwa mifano halisi) ni kwa namna gani…👇🏾
shabirnakamu's tweet image. Moja ya faida ya kusoma vitabu vya mindset ni kukufanya kuwa na MAONO (VISION) za mbali..

🧵
Repost🔁
Follow @shabirnakamu

Inawezekana wengi wetu hatufahamu uzito halisi wa kuwa na MAONO ya kueleweka..

katika andiko hili nitakuonyesha (kwa mifano halisi) ni kwa namna gani…👇🏾
shabirnakamu's tweet image. Moja ya faida ya kusoma vitabu vya mindset ni kukufanya kuwa na MAONO (VISION) za mbali..

🧵
Repost🔁
Follow @shabirnakamu

Inawezekana wengi wetu hatufahamu uzito halisi wa kuwa na MAONO ya kueleweka..

katika andiko hili nitakuonyesha (kwa mifano halisi) ni kwa namna gani…👇🏾
shabirnakamu's tweet image. Moja ya faida ya kusoma vitabu vya mindset ni kukufanya kuwa na MAONO (VISION) za mbali..

🧵
Repost🔁
Follow @shabirnakamu

Inawezekana wengi wetu hatufahamu uzito halisi wa kuwa na MAONO ya kueleweka..

katika andiko hili nitakuonyesha (kwa mifano halisi) ni kwa namna gani…👇🏾

Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Kuna content yake nitaielezea hili kidogo


Mara nyingi Nice Guys ndio set ya Wanaume ambao Wanawake hawawataki wakiwa kwenye prime yao Unajua kwanini...? #KuwaNiceGuyniUgonjwa


Jifunze kusema " HAPANA" kwa favours ambazo Wanawake wanataka uwafanyie Utagundua mengi na macho yako yatafunguka #KuwaNiceGuyniUgonjwa


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Fanya makosa yote mbele ya Mwanamke ila usiwe Mwanaume dhaifu ( Nice Guy) Ukifanya kosa hili hautosamehewa kamwe na vile Wanawake walivyo wakatili kwa Wanaume dhaifu Kuwa mkarimu tu inatosha usiwe Nice utaumizwa #KuwaNiceGuyniUgonjwa


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Tunaogopa sana hii kuwapoteza


Ukitaka kujua Uhalisia wa Mwanamke uliyenaye mnyime kitu ... Utaiona rangi yake halisi Unfortunately! Nice Guys can't relate because they are YES MAN! #KuwaNiceGuyniUgonjwa


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Kwaheshima zenu naombeni #repost zenu hapaaa💓💕 @Fundimabomba 0752067371

Milaboy_Tz's tweet image. Kwaheshima zenu naombeni #repost zenu hapaaa💓💕

@Fundimabomba 0752067371

Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Ni kweli kabisa. 'Hapana' ni mpaka wa kujilinda. Ni zaidi ya neno – ni kauli ya kujiheshimu, kudumisha thamani binafsi na kulinda afya ya kiakili na mwili. Mtu anapojifunza kusema 'hapana', anajipa ruhusa ya kusema 'ndiyo' kwa kile kilicho bora kwake


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Hapana ni neno baya kwa wanawake na hawalipendi kabisa kulisikia. Ndio mana dem utasikia "Nikuambie kitu, Niambie kwanza kama utakubali?" Kwake Hapana haina nafasi. Sasa kuna vtu vingine tunahitaji kusema HAPANA.


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Neno " HAPANA " bila kutoa maelezo yoyote linabeba Nguvu yako Mwanaume Jifunze kusema " HAPANA " kwenye jambo lolote linalopunguza well being yako #KuwaNiceGuyniUgonjwa


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Haya sasa @Afya_code tumewekwa hadi kwenye magazeti lakini tunaweza tusisikie. Kauli ni moja tu, Je usipoazima hiyo Ela Utakufa? Kama haufi achana nayo fanya mambo mengine. Ila kama tunapelekaga uku naomba tuzuiwe tu kukopa 😂😂

AmosCyprian4's tweet image. Haya sasa @Afya_code tumewekwa hadi kwenye magazeti lakini tunaweza tusisikie.

Kauli ni moja tu, Je usipoazima hiyo Ela Utakufa? Kama haufi achana nayo fanya mambo mengine.

Ila kama tunapelekaga uku naomba tuzuiwe tu kukopa 😂😂

Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Ukweli kuhusu kipato cha mtandaoni. Hasa kama unauza professional services, coaching, books na courses —mambo yako hivi: Mwezi huu umeingiza 652,000 Mwezi uliopita 120,000 Next month alfu sabini na aftatu. Another month umepiga 2,890,000 Mwezi mwingine Sifuri. Na hali…


Ni lazima Wanawake wakutumie kwa faida zao kwa sababu wewe ni mdhaifu, unaishi ili upate approval yao na unaishi nje ya Uhalisia wako Mind you! Wanawake wanahisi udhaifu chap sana na wakijua unao umeisha #KuwaNiceGuyniUgonjwa


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Soon inaanza kushuka episode moja baada ya nyingine.!! Watu wakae mkao wa kula🚨🫵🏾

@shabirnakamu kuna jambo analipika, likiiva litakuwa lamoto.

Mkuruzenzi's tweet image. @shabirnakamu kuna jambo analipika, likiiva litakuwa lamoto.


Health with Mhando 🩺 รีโพสต์แล้ว

Kama unachofanya au unachosema mara nyingi lengo ni kupata sifa kutoka kwa Wanawake Jitathmini Sana... #KuwaNiceGuyniUgonjwa


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.