BlessingChess's profile picture. | Data Privacy Officer (DPO) | Passionate about digital transformation, innovation, and creating impactful projects | The Innovation House Brand Worldwide.

BlessingChess

@BlessingChess

| Data Privacy Officer (DPO) | Passionate about digital transformation, innovation, and creating impactful projects | The Innovation House Brand Worldwide.

Закреплено

Finally I realised, I'm Not a permanent Person In Anyone's Chapter, But I can Assure To Be A Best Temporary Person You Ever Meet.


BlessingChess сделал(а) репост

Ishu hii ngumu kama waliobna madaraka wataendelea kushupaza shingo hawataamini zaidi kitakacho tokea


BlessingChess сделал(а) репост

KATAA MAANDAMANO DISEMBA 9. KATAA MAANDAMANO DISEMBA 9. KATAA MAANDAMANO DISEMBA 9. KATAA MAANDAMANO DISEMBA 9. KATAA MAANDAMANO DISEMBA 9. KATAA MAANDAMANO DISEMBA 9. KATAA MAANDAMANO DISEMBA 9. KATAA MAANDAMANO DISEMBA 9. KATAA MAANDAMANO DISEMBA 9. KATAA MAANDAMANO DISEMBA 9.


BlessingChess сделал(а) репост

Diwani wa Kata ya KKoo Haji Manara anatuambia kilichotokea siku ya Oktoba 29👇. 🗣️“Walizusha nimefariki na mwili umekutwa Coco Beach”. @manaratv__ @hajismanara__ @haji_sunday_manara_fan #knews24updates #tunakutoakichakani instagram.com/reel/DRQICcZDU…


BlessingChess сделал(а) репост

WANU : NASHAURIKA NA NAFIKIKA "Niko tayari kwa maelekezo, ushauri maana hapa niko jikoni, nichukuliwe kama Naibu Waziri wa Elimu mimi ni rahisi kufikika na kushaurika ukiwa na lolote tuvunje Protoko ili nifikike kirahisi" - Wanu Ameir - Naibu Waziri wa Elimu

Sisimizi3's tweet image. WANU : NASHAURIKA NA NAFIKIKA

"Niko tayari kwa maelekezo, ushauri maana hapa niko jikoni, nichukuliwe kama Naibu Waziri wa Elimu mimi ni rahisi kufikika na kushaurika ukiwa na lolote tuvunje Protoko ili nifikike kirahisi" - Wanu Ameir - Naibu Waziri wa Elimu

BlessingChess сделал(а) репост

Uzuri Data base ya CCM ukishaingia tu haikusahau kamwe


BlessingChess сделал(а) репост

Ukisikia "lilia bahati usililie uzuri" ndo hii😁🙌

SincerelyRahma_'s tweet image. Ukisikia "lilia bahati usililie uzuri" ndo hii😁🙌

BlessingChess сделал(а) репост

Ooohhh, kumbe kila kitu kipo poa kabisa isipokuwa ni jamaa wachache tu waliopo nje ya nchi ndio wanachochea vurugu?? Na yale MARIDHIANO mnayoyatangaza kila kukicha ni ya nini kama kila kitu kipo poa?🤔🤔 MNARIDHIANA pasipo kuwa na tatizo lolote?🤔🤔

От Jambo TV

BlessingChess сделал(а) репост

Watanzania sasa hivi hawana mchezo tena, wanamkaanga live bila huruma. 😂😂😂


BlessingChess сделал(а) репост

I remain here where I am, South Africa. I love my home


BlessingChess сделал(а) репост

Yes I’ve never understood any other reason. Nothing beats the thrill of that first kiss


BlessingChess сделал(а) репост

Tuanzie hapa kwanza kujua, halafu tutaulizana imevimbaje? Imevimba upande wa kushoto au kulia?

mshambuliaji's tweet image. Tuanzie hapa kwanza kujua, halafu tutaulizana imevimbaje? Imevimba upande wa kushoto au kulia?

BlessingChess сделал(а) репост

Best Student wa UDSM 2025 👊

MsomiKhan18's tweet image. Best Student wa UDSM 2025 👊

BlessingChess сделал(а) репост

"Ndani ya siku 11 tangu [Rais Samia Suluhu Hassan] alipokula kiapo, ajira 12,000 zilikuwa zimeshatangazwa. Ajira 7,000 ni za walimu, na 5,000 ni kwa ajili ya wahudumu wa afya." - Kenani Kihongosi, Katibu Mwenezi CCM akizungumza na vyombo vya Habari

swahilitimes's tweet image. "Ndani ya siku 11 tangu [Rais Samia Suluhu Hassan] alipokula kiapo, ajira 12,000 zilikuwa zimeshatangazwa. Ajira 7,000 ni za walimu, na 5,000 ni kwa ajili ya wahudumu wa afya." - Kenani Kihongosi, Katibu Mwenezi CCM akizungumza na vyombo vya Habari

BlessingChess сделал(а) репост

Mh 😳🙌🏾

Officielsajah's tweet image. Mh 😳🙌🏾

BlessingChess сделал(а) репост

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Tido Mhando kuwa Mshauri wa Rais, Habari na Mawasiliano. Taarifa ya leo Novemba 19, 2025 iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses M. Kusiluka imeeleza kuwa Rais Samia pia amemteua…

mshambuliaji's tweet image. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Tido Mhando kuwa Mshauri wa Rais, Habari na Mawasiliano.

Taarifa ya leo Novemba 19, 2025 iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Dkt. Moses M. Kusiluka imeeleza kuwa Rais Samia pia amemteua…

BlessingChess сделал(а) репост

Rais wa Marekani Donald Trump ameulizwa kati ya Messi na Ronaldo yupi ni mchezaji bora wa muda wote , Trump amemtaja Cristiano Ronaldo Kauli hii imetolewa ikiwa zimesalia siku chake kuelekea kuanza kwa Fainali za Kombe la Dunia ambazo zitachezwa huko Marekani.

shaffihdauda1's tweet image. Rais wa Marekani Donald Trump ameulizwa kati ya Messi na Ronaldo yupi ni mchezaji bora wa muda wote , Trump amemtaja Cristiano Ronaldo 

Kauli hii imetolewa ikiwa zimesalia siku chake kuelekea kuanza kwa Fainali za Kombe la Dunia ambazo zitachezwa huko Marekani.

BlessingChess сделал(а) репост

Good Morning God’s people 🙏🤲🏿

mudryk_jr's tweet image. Good Morning God’s people 🙏🤲🏿

BlessingChess сделал(а) репост

VIDEO: Kiongozi Mkuu wa Wahadhiri wa Kiislamu nchini Tanzania Sheikh Rajab Salum amepinga vikali tamko lililotolewa na Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki Tanzania (TEC) kuhusu uvunjifu wa amani uliojitokeza wakati na baada ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 29, 2025, akisema baraza…


BlessingChess сделал(а) репост

KIAPO CHA WAZIRI WA KATIBA NA SHERIA


BlessingChess сделал(а) репост

Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi Homera akipokea nyaraka za ofisi kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa hafla ya makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Mtumba jijini, Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025

Sheria_Katiba's tweet image. Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi  Homera akipokea nyaraka za ofisi kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa hafla ya makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Mtumba jijini,  Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025
Sheria_Katiba's tweet image. Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi  Homera akipokea nyaraka za ofisi kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa hafla ya makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Mtumba jijini,  Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025
Sheria_Katiba's tweet image. Waziri wa Katiba na Sheria, Mhe. Dkt. Juma Zuberi  Homera akipokea nyaraka za ofisi kutoka kwa aliyekuwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro wakati wa hafla ya makabidhiano ya Ofisi yaliyofanyika Mtumba jijini,  Dodoma tarehe 18 Novemba, 2025

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.