ConcodeNews's profile picture. #Sports_man presenter under


#JRTV_NYUMBANI_KWANZA
individual manager #Boo_Empire

Concode_news

@ConcodeNews

#Sports_man presenter under #JRTV_NYUMBANI_KWANZA individual manager #Boo_Empire

你可能會喜歡

Aliyekua kiungo wa kati wa stade de Rennes ya ufaransa Eduardo camaavinga amejiunga na klabu ya Real Madrid Spain kwa DAU la £31M kwa uhamisho wake +Bonus £40M kiungo huyo aliomba klabu yake kua anahitaji kuondoka klabuni hapo kwa heshima kuliko kuondoka 2022 kama mchezaji huru.

ConcodeNews's tweet image. Aliyekua kiungo wa kati wa stade de Rennes ya ufaransa Eduardo camaavinga amejiunga na klabu ya Real Madrid Spain kwa DAU la £31M kwa uhamisho wake +Bonus £40M kiungo huyo aliomba klabu yake kua anahitaji kuondoka klabuni hapo kwa heshima kuliko kuondoka 2022 kama mchezaji huru.

Aliyekua beki wa kati wa Bologna fokayu Tomiyasu kisiki kutoka Japan amejiunga na klabu ya arsenal kwa DAU la £20M huk beki huyo anaweza kucheza kama wing back wa kulia,beki wa kulia &Beki wa kati.

ConcodeNews's tweet image. Aliyekua beki wa kati wa Bologna fokayu Tomiyasu kisiki kutoka Japan amejiunga na klabu ya arsenal kwa DAU la £20M huk beki huyo anaweza kucheza kama wing back wa kulia,beki wa kulia &Beki wa kati.

Concode_news 已轉發

Kwenye kutunga mashairi ya mapenzi niko na @mbossokhan nitajie wako.


Kiungo wa ki Argentina Rodrigo de Paul ambae anachezea team ya klabu ya udinise . Deal DONE ndani ya atletico Madrid asajiliwa kwa DAU la £35M . na anatarajiwa kutangazwa na atletico Madrid mwezi hu

ConcodeNews's tweet image. Kiungo wa ki Argentina Rodrigo de Paul ambae anachezea team ya klabu ya udinise . Deal DONE ndani ya atletico Madrid asajiliwa kwa DAU la £35M . na anatarajiwa kutangazwa na atletico Madrid mwezi hu

Klabu ya RB lepzing inamua kumchukua mshambuliaji kutoka klabu ya Celtic Rafael Santos kuwa mbadala wa Andre Silva Watamchukua kama mchezaji huru

ConcodeNews's tweet image. Klabu ya RB lepzing inamua kumchukua mshambuliaji kutoka klabu ya Celtic Rafael Santos kuwa mbadala wa Andre Silva Watamchukua kama mchezaji huru

Kuna uwezekano mkubwa sana klabu ya PSG kumsajili rasmi beki wa kati Sergio Ramos baada ya kua na mawasiliano mazuri ya pande zote mbili.

ConcodeNews's tweet image. Kuna uwezekano mkubwa sana klabu ya PSG kumsajili rasmi beki wa kati Sergio Ramos baada ya kua na mawasiliano mazuri ya pande zote mbili.

Mshambuliaji kutoka klabu ya PSG kylien mbappe ataka kuondoka klabun hapo kama free agent baada ya kukataa kuongeza mkataba msimu huu na mkataba wake unaisha June 2022.

ConcodeNews's tweet image. Mshambuliaji kutoka klabu ya PSG kylien mbappe ataka kuondoka klabun hapo kama free agent baada ya kukataa kuongeza mkataba msimu huu na mkataba wake  unaisha June 2022.

Mmiliki wa klabu ya Dortmund Abraham movich aeleza wazi mashabiki bado wana nafasi ya kumpata Halaand. Je ni kweli Dortmund dirisha hili waachie ma star wawili kweli??

ConcodeNews's tweet image. Mmiliki wa klabu ya Dortmund Abraham movich aeleza wazi mashabiki bado wana nafasi ya kumpata Halaand. Je ni kweli Dortmund dirisha hili waachie  ma star wawili kweli??

RB lepzing wataachana na kiungo wao mchezeshaji wa Austria Marcel sabitzer .huku kiungo huyo akiwindwa na Arsenal,roma na AC millan

ConcodeNews's tweet image. RB lepzing wataachana na kiungo wao mchezeshaji wa Austria Marcel sabitzer .huku kiungo huyo akiwindwa na Arsenal,roma na AC millan

United States 趨勢

你可能會喜歡

Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.