Concode_news
@ConcodeNews
#Sports_man presenter under #JRTV_NYUMBANI_KWANZA individual manager #Boo_Empire
Może Ci się spodobać
Aliyekua kiungo wa kati wa stade de Rennes ya ufaransa Eduardo camaavinga amejiunga na klabu ya Real Madrid Spain kwa DAU la £31M kwa uhamisho wake +Bonus £40M kiungo huyo aliomba klabu yake kua anahitaji kuondoka klabuni hapo kwa heshima kuliko kuondoka 2022 kama mchezaji huru.
Aliyekua beki wa kati wa Bologna fokayu Tomiyasu kisiki kutoka Japan amejiunga na klabu ya arsenal kwa DAU la £20M huk beki huyo anaweza kucheza kama wing back wa kulia,beki wa kulia &Beki wa kati.
Kwenye kutunga mashairi ya mapenzi niko na @mbossokhan nitajie wako.
Kiungo wa ki Argentina Rodrigo de Paul ambae anachezea team ya klabu ya udinise . Deal DONE ndani ya atletico Madrid asajiliwa kwa DAU la £35M . na anatarajiwa kutangazwa na atletico Madrid mwezi hu
Klabu ya RB lepzing inamua kumchukua mshambuliaji kutoka klabu ya Celtic Rafael Santos kuwa mbadala wa Andre Silva Watamchukua kama mchezaji huru
Kuna uwezekano mkubwa sana klabu ya PSG kumsajili rasmi beki wa kati Sergio Ramos baada ya kua na mawasiliano mazuri ya pande zote mbili.
Mshambuliaji kutoka klabu ya PSG kylien mbappe ataka kuondoka klabun hapo kama free agent baada ya kukataa kuongeza mkataba msimu huu na mkataba wake unaisha June 2022.
Mmiliki wa klabu ya Dortmund Abraham movich aeleza wazi mashabiki bado wana nafasi ya kumpata Halaand. Je ni kweli Dortmund dirisha hili waachie ma star wawili kweli??
RB lepzing wataachana na kiungo wao mchezeshaji wa Austria Marcel sabitzer .huku kiungo huyo akiwindwa na Arsenal,roma na AC millan
United States Trendy
- 1. Good Friday 50.2K posts
- 2. #FanCashDropPromotion N/A
- 3. LINGORM DIOR AT MACAU 399K posts
- 4. #FridayVibes 3,785 posts
- 5. #TheWorldWithVenezuela 2,364 posts
- 6. #ElMundoConVenezuela 2,399 posts
- 7. Happy Friyay N/A
- 8. #GenshinSpecialProgram 15.5K posts
- 9. Josh Allen 43.9K posts
- 10. Haier EST SUPHA 129K posts
- 11. RED Friday 2,292 posts
- 12. Ja Rule N/A
- 13. Sedition 335K posts
- 14. Parisian 1,669 posts
- 15. Texans 62.6K posts
- 16. Niger 61.4K posts
- 17. namjoon 69.1K posts
- 18. Beane 3,212 posts
- 19. Cole Palmer 16.2K posts
- 20. Traitor 120K posts
Może Ci się spodobać
Something went wrong.
Something went wrong.