你可能會喜歡
Aliyekua kiungo wa kati wa stade de Rennes ya ufaransa Eduardo camaavinga amejiunga na klabu ya Real Madrid Spain kwa DAU la £31M kwa uhamisho wake +Bonus £40M kiungo huyo aliomba klabu yake kua anahitaji kuondoka klabuni hapo kwa heshima kuliko kuondoka 2022 kama mchezaji huru.

Aliyekua beki wa kati wa Bologna fokayu Tomiyasu kisiki kutoka Japan amejiunga na klabu ya arsenal kwa DAU la £20M huk beki huyo anaweza kucheza kama wing back wa kulia,beki wa kulia &Beki wa kati.

Kiungo wa ki Argentina Rodrigo de Paul ambae anachezea team ya klabu ya udinise . Deal DONE ndani ya atletico Madrid asajiliwa kwa DAU la £35M . na anatarajiwa kutangazwa na atletico Madrid mwezi hu

Klabu ya RB lepzing inamua kumchukua mshambuliaji kutoka klabu ya Celtic Rafael Santos kuwa mbadala wa Andre Silva Watamchukua kama mchezaji huru

Kuna uwezekano mkubwa sana klabu ya PSG kumsajili rasmi beki wa kati Sergio Ramos baada ya kua na mawasiliano mazuri ya pande zote mbili.

Mshambuliaji kutoka klabu ya PSG kylien mbappe ataka kuondoka klabun hapo kama free agent baada ya kukataa kuongeza mkataba msimu huu na mkataba wake unaisha June 2022.

Mmiliki wa klabu ya Dortmund Abraham movich aeleza wazi mashabiki bado wana nafasi ya kumpata Halaand. Je ni kweli Dortmund dirisha hili waachie ma star wawili kweli??

RB lepzing wataachana na kiungo wao mchezeshaji wa Austria Marcel sabitzer .huku kiungo huyo akiwindwa na Arsenal,roma na AC millan

United States 趨勢
- 1. George Santos 36.4K posts
- 2. Carson Beck 1,532 posts
- 3. Louisville 8,432 posts
- 4. #SmackDown 8,802 posts
- 5. Dan Wilson 1,574 posts
- 6. #askdave N/A
- 7. Canzone 2,825 posts
- 8. Jeff Brohm N/A
- 9. Toney 2,503 posts
- 10. Bryce Miller 1,792 posts
- 11. Tina Peters 5,707 posts
- 12. #DaytimeEmmys 1,827 posts
- 13. Chris Bell N/A
- 14. Alejandro Kirk N/A
- 15. Bryan Woo N/A
- 16. End 1Q N/A
- 17. Prince Andrew 48.8K posts
- 18. No Kings 309K posts
- 19. End of 1 13.6K posts
- 20. Brash 1,141 posts
你可能會喜歡
Something went wrong.
Something went wrong.