DachiRashid2's profile picture. Senior Medical Research and Consultancy, C.E.O.Dachi Group of Companies, Beekeeping Research and Apicuture Consultancy, Medical Psychologist,Bio-Pharmacetical

Dachi Rashidi

@DachiRashid2

Senior Medical Research and Consultancy, C.E.O.Dachi Group of Companies, Beekeeping Research and Apicuture Consultancy, Medical Psychologist,Bio-Pharmacetical

Dachi Rashidi さんがリポスト

Aika ‘mbe🙏🏿🙏🏿!


Dachi Rashidi さんがリポスト

Katika lugha ya kivuli, hii ni forensic reconstruction na si porojo, si simulizi za mitandaoni, bali evidence mapping iliyofanywa kupitia vyanzo tofauti, pembe tofauti, na wakati tofauti. Kazi kama hii haijengwi kwa hisia, inajengwa kwa multi angle verification, kitu ambacho…

We analyzed 14 original videos just to recreate this street scene in Arusha

LarryMadowo's tweet image. We analyzed 14 original videos just to recreate this street scene in Arusha


Dachi Rashidi さんがリポスト

Una Kitabu cha kusoma Weekend hii? SIRI NA UJASUSI.. kurasa 442 za Ujasusi, intelijensia, uhalifu na matukio ya kihistoria yaliyobadili ulimwengu. Kwa shilingi elfu hamsini tu unaishika nakala yako mkononi. Piga simu/sms 0759 181 457

habibu_anga's tweet image. Una Kitabu cha kusoma Weekend hii? SIRI NA UJASUSI.. kurasa 442 za Ujasusi, intelijensia, uhalifu na matukio ya kihistoria yaliyobadili ulimwengu.
Kwa shilingi elfu hamsini tu unaishika nakala yako mkononi.
Piga simu/sms 0759 181 457

Dachi Rashidi さんがリポスト

‼️🚨UJUMBE KUTOKA TUNDU LISSU‼️ “Tume za Uchunguzi ni dekio la uchafu wa serikali na Jaji Mkuu Mohamed Chande ndiye msafishaji mkuu wa uchafu huo!! Alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Mauaji Bonde la Ihefu mwaka 2006. Matokeo yake? Sifuri!! Alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya…

MariaSTsehai's tweet image. ‼️🚨UJUMBE KUTOKA TUNDU LISSU‼️

“Tume za Uchunguzi ni dekio la uchafu wa serikali na Jaji Mkuu Mohamed Chande ndiye msafishaji mkuu wa uchafu huo!! 
Alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchunguzi wa Mauaji Bonde la Ihefu mwaka 2006. Matokeo yake? Sifuri!! 
Alikuwa Mwenyekiti wa Tume ya…

Dachi Rashidi さんがリポスト

Hii ripoti ya @CNN!!!!! Moyo wangu unavuja damu. Kwamba mliwaondoa majeruhi wazima na kuwapeleka mortuary? Kwamba mmezika watu kwenye makaburi ya pamoja, badala ya kuwapa ndugu miili ya watu wao? Haya mtayajibu vipi? Hiyo kiu ya madaraka ni kubwa kiasi gani kwamba unafanya…


Dachi Rashidi さんがリポスト

Mmeona mambo ya Forensic Analysis yalivyo. "Examination of audio extracted from the original video" Larry amechambua bwana 🙌🏻

TOTTechs's tweet image. Mmeona mambo ya Forensic Analysis yalivyo. "Examination of audio extracted from the original video"

Larry amechambua bwana 🙌🏻
TOTTechs's tweet image. Mmeona mambo ya Forensic Analysis yalivyo. "Examination of audio extracted from the original video"

Larry amechambua bwana 🙌🏻

Dachi Rashidi さんがリポスト

My job is to cover Africa accurately, not positively

LarryMadowo's tweet image. My job is to cover Africa accurately, not positively

Dachi Rashidi さんがリポスト

Tatizo tunalo, lakini tatizo letu kubwa zaidi ni KUFICHA tatizo tulilonalo!


Dachi Rashidi さんがリポスト

Baada ya mauaji ya Zanzibar, TEC iliungana na BAKWATA na CCT kutoa waraka wa kulaani mauaji hayo (waraka ulitoka Feb 08, 2001) Baada ya hapo TEC ilitoa waraka wake ambapo pamoja na kuonya mauaji ni machukizo, ilitoa uchambuzi wa nini kilipelekea hali ile, na kutoa mapendekezo.

tonyalfredk's tweet image. Baada ya mauaji ya Zanzibar, TEC iliungana na BAKWATA na CCT kutoa waraka wa kulaani mauaji hayo (waraka ulitoka Feb 08, 2001)

Baada ya hapo TEC ilitoa waraka wake ambapo pamoja na kuonya mauaji ni machukizo, ilitoa uchambuzi wa nini kilipelekea hali ile, na kutoa mapendekezo.
tonyalfredk's tweet image. Baada ya mauaji ya Zanzibar, TEC iliungana na BAKWATA na CCT kutoa waraka wa kulaani mauaji hayo (waraka ulitoka Feb 08, 2001)

Baada ya hapo TEC ilitoa waraka wake ambapo pamoja na kuonya mauaji ni machukizo, ilitoa uchambuzi wa nini kilipelekea hali ile, na kutoa mapendekezo.

Dachi Rashidi さんがリポスト

CNN’s investigation into Tanzania’s post-election violence is out tomorrow around the world

LarryMadowo's tweet image. CNN’s investigation into Tanzania’s post-election violence is out tomorrow around the world

Dachi Rashidi さんがリポスト

#KutokaMakavazini: Uchambuzi wa Tume ya Mbita iliyoteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mkapa, kuchunguza sababu na athari za matokeo ya tarehe 26 na 27 Januari 2001: "Wengine wakafa katika mazingira ya kutatanisha wakiwa hospitali na wengine kutolewa Hospitali…


Dachi Rashidi さんがリポスト

Msikilize shekhe mtofautishe na hao wanaodhani wanaichambua TEC.


Dachi Rashidi さんがリポスト

🔖We fully agree.

Every African who can needs to read this book ASAP. It will change your life. If you don’t understand why theory is important, this book will explain it to you.

Ani_Kayode's tweet image. Every African who can needs to read this book ASAP. It will change your life. If you don’t understand why theory is important, this book will explain it to you.


Dachi Rashidi さんがリポスト

#KutokaMakavazini: “siyo chombo cha kuwaua” — Mwinyi (1977)

Udadisi's tweet image. #KutokaMakavazini: “siyo chombo cha kuwaua” — Mwinyi (1977)

Dachi Rashidi さんがリポスト

#KutokaMakavazini (Chanzo: Ali Hassan Mwinyi, 2020, 471, Mzee Rukhsa: Safari ya Maisha Yangu)

Udadisi's tweet image. #KutokaMakavazini (Chanzo: Ali Hassan Mwinyi, 2020, 471, Mzee Rukhsa: Safari ya Maisha Yangu)

Dachi Rashidi さんがリポスト

#KutokaMakavazini: “kwa fedheha hili, naomba unikubalie nijiuzulu ” — Ali Hassan Mwinyi (1977)

Udadisi's tweet image. #KutokaMakavazini: “kwa fedheha hili, naomba unikubalie nijiuzulu ” — Ali Hassan Mwinyi (1977)

Dachi Rashidi さんがリポスト

Ukisoma kitabu cha “The Lucifer Effect: Understanding how good people turn evil” unajifunza ‘power’ ndio kuwa chanzo kikubwa cha uovu. Power ni kama bangi. Binadamu anayetaka mamlaka dhidi ya binadamu mwenzake anaweza kufanya hata yasiyofikirika mradi atimize azma yake. Kwa…

bwaya's tweet image. Ukisoma kitabu cha “The Lucifer Effect: Understanding how good people turn evil” unajifunza ‘power’ ndio kuwa chanzo kikubwa cha uovu. Power ni kama bangi. Binadamu anayetaka mamlaka dhidi ya binadamu mwenzake anaweza kufanya hata yasiyofikirika mradi atimize azma yake.

Kwa…
bwaya's tweet image. Ukisoma kitabu cha “The Lucifer Effect: Understanding how good people turn evil” unajifunza ‘power’ ndio kuwa chanzo kikubwa cha uovu. Power ni kama bangi. Binadamu anayetaka mamlaka dhidi ya binadamu mwenzake anaweza kufanya hata yasiyofikirika mradi atimize azma yake.

Kwa…
bwaya's tweet image. Ukisoma kitabu cha “The Lucifer Effect: Understanding how good people turn evil” unajifunza ‘power’ ndio kuwa chanzo kikubwa cha uovu. Power ni kama bangi. Binadamu anayetaka mamlaka dhidi ya binadamu mwenzake anaweza kufanya hata yasiyofikirika mradi atimize azma yake.

Kwa…

Dachi Rashidi さんがリポスト

Ukifuga mtoto wa chui ipo siku atakuwa chui mkubwa na kumla mfugaji


Dachi Rashidi さんがリポスト
Udadisi's tweet image.

Dachi Rashidi さんがリポスト

Yes ila hazipo ukipost Twitter So hiyo napata mimi ila nikipost Twitter ile metadata inapotea


Loading...

Something went wrong.


Something went wrong.